- Видео 19 296
- Просмотров 43 577 782
TBConline
Танзания
Добавлен 3 фев 2015
SHIRIKA LA UTANGAZAJI TANZANIA (TBC)"Tanzania Broadcasting Corporation"
Tanzanian Broadcasting Corporation is a television network. It is Tanzania's national network and is government-owned and operated.
Tanzanian Broadcasting Corporation is a television network. It is Tanzania's national network and is government-owned and operated.
#TBC1: BODI YA NAFAKA NA MAZAO MCHANGANYIKO YAAHIDI KUSIMAMIA UZALISHAJI WA VIWANDA KUFIKIA 75%
#TBC1: BODI YA NAFAKA NA MAZAO MCHANGANYIKO YAAHIDI KUSIMAMIA UZALISHAJI WA VIWANDA KUFIKIA 75%
Просмотров: 52
Видео
#TBC: ONDOKENI SIMBA SC MUWAPISHE WENGINE
Просмотров 41 тыс.2 часа назад
Mbunge wa Jimbo la Makete, Festo Sanga ameshangazwa na aina ya uwekezaji kwenye timu ya Simba na kusema kama timu imewashinda viongozi waliopo wawapishe wengine kuendeshea timu hiyo. Akizungumza na TBCDigital nje ya Bunge, Sanga amesema timu imekuwa na mwenendo mbaya na kuwanyima raha mashabiki wa Simba bila uongozi uliopo madarakani kujitafakari kwa kina. Shabiki wa Simba una maoni gani juu ya...
#TBC: MJANE HAAMINI BAADA YA WAFADHILI KUMJENGEA NYUMBA
Просмотров 994 часа назад
#TBC: MJANE HAAMINI BAADA YA WAFADHILI KUMJENGEA NYUMBA
#TBC: WALIOPO MAENEO RASMI YA BIASHARA KUPATIWA VITAMBULISHO
Просмотров 494 часа назад
#TBC: WALIOPO MAENEO RASMI YA BIASHARA KUPATIWA VITAMBULISHO
TBC: TMA YATOA MWELEKEO WA KIPUNGA HIDAYA
Просмотров 1234 часа назад
TBC: TMA YATOA MWELEKEO WA KIPUNGA HIDAYA
#TBC: ZAWADI YA WANORWAY YAWAGUSA WENYE ULEMAVU NA WENGINE
Просмотров 504 часа назад
#TBC: ZAWADI YA WANORWAY YAWAGUSA WENYE ULEMAVU NA WENGINE
TBC: TUONDOLEENI HUU MRUNDIKANO WA TAKA
Просмотров 434 часа назад
TBC: TUONDOLEENI HUU MRUNDIKANO WA TAKA
#TBC: SERIKALI YATOA TAMKO KIMBUNGA CHA HIDAYA
Просмотров 2054 часа назад
#TBC: SERIKALI YATOA TAMKO KIMBUNGA CHA HIDAYA
#TBC: MBUNGE ATAKA KIMONDO CHA IVUNA KIREJESHWE
Просмотров 1314 часа назад
#TBC: MBUNGE ATAKA KIMONDO CHA IVUNA KIREJESHWE
#TBC1: TUNATEKELEZA - MABORESHO YA UTENDAJI KATIKA IDARA ZA MSD
Просмотров 2367 часов назад
#TBC1: TUNATEKELEZA - MABORESHO YA UTENDAJI KATIKA IDARA ZA MSD
#TBC: ASHAURI WAKULIMA WADOGO WAANGALIWE UPYA
Просмотров 937 часов назад
#TBC: ASHAURI WAKULIMA WADOGO WAANGALIWE UPYA
#TBC: SKIMU MPYA 25 ZA UMWAGILIAJI KUJENGWA
Просмотров 897 часов назад
#TBC: SKIMU MPYA 25 ZA UMWAGILIAJI KUJENGWA
#TBC: WORLD VISION WATOA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA VIJANA
Просмотров 817 часов назад
#TBC: WORLD VISION WATOA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA VIJANA
#TBC1: SUMAJKT WAPONGEZWA UJENZI WA NYUMBA ZA WAATHIRIKA WA MAPOROMOKO YA UDONGO HANANG
Просмотров 1579 часов назад
#TBC1: SUMAJKT WAPONGEZWA UJENZI WA NYUMBA ZA WAATHIRIKA WA MAPOROMOKO YA UDONGO HANANG
#TBC1: AFYA YA MAMA YAPIGIWA CHAPUO NA WADAU MBALIMBALI WA AFYA
Просмотров 14312 часов назад
#TBC1: AFYA YA MAMA YAPIGIWA CHAPUO NA WADAU MBALIMBALI WA AFYA
#TBC:HAKUNA LESENI KWA ASIYEONGEZA THAMNI YA MADINI
Просмотров 6612 часов назад
#TBC:HAKUNA LESENI KWA ASIYEONGEZA THAMNI YA MADINI
#TBC2: BINTI BORA NA UREMBO WA ASILI
Просмотров 12212 часов назад
#TBC2: BINTI BORA NA UREMBO WA ASILI
#TBC: MARUFUKU KUTOZA KODI KWENYE MAZAO
Просмотров 21612 часов назад
#TBC: MARUFUKU KUTOZA KODI KWENYE MAZAO
#TBC: KISHINDO AWAMU YA SITA- MIAKA 60 YA MUUNGANO
Просмотров 4714 часов назад
#TBC: KISHINDO AWAMU YA SITA- MIAKA 60 YA MUUNGANO
#TBC: KISHINDO AWAMU YA SITA- MIAKA 60 YA MUUNGANO
Просмотров 30814 часов назад
#TBC: KISHINDO AWAMU YA SITA- MIAKA 60 YA MUUNGANO
#TBC: MBONA SHERIA ZINALINDA WANYAMA ZAIDI YA BINADAMU?
Просмотров 23614 часов назад
#TBC: MBONA SHERIA ZINALINDA WANYAMA ZAIDI YA BINADAMU?
#TBC: SHERIA YA ADHABU YA KIFO IANGALIWE UPYA
Просмотров 4314 часов назад
#TBC: SHERIA YA ADHABU YA KIFO IANGALIWE UPYA
#TBC: MPANGO WA KUPUNGUZA KESI MAHAKAMNI WAJA
Просмотров 5614 часов назад
#TBC: MPANGO WA KUPUNGUZA KESI MAHAKAMNI WAJA
#TBC: DKT. AMANI KARUME: SERA ZA ASP NA TANU ZILISAIDIA KUFIKIWA MUUNGANO
Просмотров 8816 часов назад
#TBC: DKT. AMANI KARUME: SERA ZA ASP NA TANU ZILISAIDIA KUFIKIWA MUUNGANO
Simba na quality ya viongozi tofauti kabisa
JMN MINASEMA NA NITAENDELA KUSEMA ILI SIMBA IFANYE VIZUR KWENYE USAJIRI YN KILA KITU MOO AONDOKE SIMBA YULE SII MTU MZURI KWENYE KRABU YA SIMBA SIO MTU MZURI YEYE NDIO ANAEIARIBU SIMBA ANAKOMBA HELA ZOTE ZA SIMBA ANAJINUFAISHA YEYE MWENYEWE NA FAMILIA YKE MTAKUJA KUNIAMBIA AONDOKE NDIO ADUI NAMBA MOJA
Ni kweli kabisa, viongozi na Mo wapishe timu ianze upya kabla ya msimu haujaanza
Kwenye msafara wa mamba na kenge wapo
watu wenye akili kubwa mmechelewa sana mpaka timu imeliwa na mchwa mlikuwa wapi jamani hebu fanyeni Kila namba mo atoke tumechoka na sarakasi zake Simba ndiyo taswira pekee ya mpila wa hii nchi
Nampendaa sanaaa huyu mbunge miss Condester she has a attractive voice and beautiful face for sure I like her..
Najitokeza kupingana na hojayakijinga kabisa kwanimtu kusemaanapata hasara ni tatizo serekalini tuliambiwa ndegezinatiahasara na badotunazileta mwekezaji heraanatoa ushahidi tuna tatizovioni
Kweli mdau umeongea point kubwa sana
Hongera xana kijana
❤
Umeongea jambo la maana sana
Mbunge wewe ni mtu maana , simba inatharaulika na ss mashabiki tunateseka sana. Endelea kuongea usiishie hapo
Huyo nae ni kitunguu, kama kweli ni mbunge na ni kiongozi wa wapi? yaani na yeye analalamika na hajui kitu na anakuja hadharani kama shabiki kweli? yeye yupo karibu kabisa na majibu yote, anao uwezo wa kuwaita viongozi hao kupitia spika nao wakajieleza mbona wakichukua kikombe wanawafuata bungeni? ndio maana naona haka ka mgogoro kana asili ya ccm na serikali yake, ndio maana na sanga anawaka tu kama shabiki.
Tangu lini wahindi ulimwengu wa soka wakawa wawekezaji
Wkt simba inafanya vizuri mlikuwa wapi mbona hamkupiga kelele kenge nyinyi
Acha uchawa Wewe, Mbunge Yuko Sawa, Kama Simba inawakata SI waachie, aingie mwekezaji Mwingineee? Wee ndo Kenge, Tim inapotea nyie mnashangilia kina Mangungu?
kongamano zuri sana kwa mkoa wetu wa Manyara, hakika Mwl Nyerere alikuwa Mwamba
mamluki nao waondoke
Muwekezaji haja weka ela kaweka maneno
Kweli kabisa unacho kisema nakuunga mkono
Huyu jamaa anaongea mambo ya hovyo yeye siyupo singinda kwenye board yeye mbona imewashinda
Aache timu, anatuboa kila siku anadai kupata hasara, miaka kadhaa afanyi usajiri anafanya majaribio ya wachezaji na kuwatema! Shabiki tunaumia
Ndugu wazili wakurima wanateseka sana Kila siku unamaneno ya subili lakini tambua mkulima huyu unae mtesa ni mpigakula pia Hadi Sasa wakurima Bado wanancho chakula Cha mwakajana lakini wewe wazili Bado umefumba macho shida watu wamelima sana nawateja walikwepo wewe umefunga mipaka alafu mnasema unamsaidia mkulima jamani tuwe makini tusije tukamchafua laisi wetu mpendwa kwenyeushilika wizimtupu wewe mwenyewe shaidi Tena umetoa ushaidi hadibungeni kwajisigani ushilika unavo mwibia mkulima alafu wewe kama wazili Bado unaukubali mfumo nikuombe wazili luhusu mipaka wananchi wanufaike nakilimo
EXACTLY....!
Jamani Watani kabla ya kuachana na Mo tafuta Mo mwingine bakuri sio Zuri, Simba ikiporomoka tutamtania nani?
Timu inapelekwa hovyo hovy watoke waniachie timu yangu
🎉🎉🎉😢😢😢
Kweli kabisa lazima ckuwepo janjajanja. Kama mtu anapata kwanini asiondoke!?
Msingetumia picha ya bungeni sasa
Ikwezekana kaka mliwasilishe bungeni wajadiliwe kwanini wanangu'ng'nia hawapati faida alafu Bado wameishikilia tim kama ya baba zao
Kaka tunaomba mtusaiidie pale Simba mwekezaji na wale viongozi watupishe niwahijumu mafisadi wakubwa
acha ujinga ww moo atowi ela ww unatowa chingapi au ukisiba pilau la selekali unalopoka tu ao gsm unaowasema wamewekeza shingapi mbona aisemwi nakama ww unaipenda simba mbona usemi ujuma ambao anafanyiwa simba uko selekalini kwann mpaka selekali aitaki kumpa moo tim kwa nn au kuna nini ap ao gsm awatowi ela kwa yanga ila selekali ndiyo inatowa ela kwa yanga gsm nikivuli tu apo ayo kazi ya kuisema simba tu moo atii ela ivi kwa mwendendo uu wa selekali kwa yanga ww ungeweka ela au unajuwa ela moo anaokota
Ni kweli kabisa mheshimiwa. Mo ni mjanjamjanja. Haitakii mema simba
salutee broo sanga
MO DEWJI atoke
Mo aondoke tu ,anatuharibia saana
Mo aondoke tu ,anatuharibia saana
Ahsante kiongozi ubarikiwe
Achen kumbeza mo wakati Simba inafanya vibaya haijawahi hata kuingia makundi mlikuwa wapi kutafuta wawekezaji? Mafanikio ya Simba hapa ilipo fikia huwezi kuyatenga na mo na ni mtu mjinga tuu anaeza kusema Simba Haina mafanikio. Kufika robo final mara Tano michuano ya caf sio swala dogo kushika nafasi ya pili au ya tatu sio swala dogo Kusema mo hatoi pesa ni uongo Simba ndio Tim inaongoza kulipa mishahara mikubwa huyo anae sema mo hatoi pesa tumpe Simba hata mwezi tuone Naomba watu wa simba tuwe makini asie shukuru kwa kidogo hata kikubwa hawezi kumshukuru acheni kucheza Ngoma za watu.
Ameongea ukweli, Simba iko dormant haikui ni kama uongozi umefikia mwisho wa limits zao za kifikiria, kuna factors nyingi sana, kila ikicheza michuano ya kimataifa inaishia robo fainali na ni kama viongozi wanaweka hiyo dhana kwny vichwa vya mashabiki wao kwamba robo fainali ndio mwisho wao. Mwekezaji anahubiri kuhusu kuchukua kombe la Afrika lkn hatuoni mchakato wowote wa kufukuzia hiyo ndoto, na ni kweli imekuwa ndoto! Timu inahitaji kiongozi mmoja mwenye nguvu na sauti hata kama ina mfumo wa mixed model ownership! Timu moja kuwa na mwenyekiti wa wanachama na mwenyekiti wa upande wa mwekezaji ni mlolongo wa utitiri wa vyeo vya kuwekana! Kiongozi mmoja atakae kuwa juu na kupewa mamlaka achaguliwe Kwa mfumo wa ukweli na uwazi atoke Kwa upande wa wanachama au mwekezaji na awekewe kanuni zinazojitosheleza zenye transparency katika safari yake ya kuiongoza klabu.
Mo haumii kwa sababu hatoi hela ange kuwa anatoa hela angezungumza Zaman
Mbunge wewe upo bize kuomgelea Simba wakati wilaya yako ina matatizo kibao! Sasa masuala ya Simba yatawasaidia nini watu wa Makete?
Viongozi Simba wangetoka mapema Sana Ila tatizo Rpc anawalinda Sana
Kutoka Nzega mjini nawapata vyema sana
Mangungu na try waondoke
Kanjibhaiii
Viongozi ndio shida
huyu si alikuwa msemaji wa singida utd simba yetu aiache
Tusaidieni Tuwatoa Wale viongozi wote matapeli kina try again. Hata uyo moo hana jipya kama vp atupishe..Tumechoka 😢
uko vizuri pambana tukomboe simba yetu iko mikononi mwa mataperi
uyo mo akuna kitu mwizi tum imeporomoka kama yanga watoa pesa Simba washindwa nini simba nao watoe pesa Simba ilikua ya hansipo tangia ameondoka akuna kitu usajili alikua ajua amsajiri nani